Psalm Lyrics

Your source for Gospel music lyrics and inspirational content.

Search This Blog

Powered by Blogger.

Monday, 28 October 2024

Sitafa Moyo | Paul Mwai | Lyrics


Tulipo ianza safari,tulikuwa wengi sana

Wengine wamepoteza imani yao,na kurudi nyuma wakafa moyo

Lakini kwa neema na fadhili zako,Ebenezer umeniwezesha


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Umenitoa,mbali sana

Na safari yangu,ni ndefu sana

Milima na mabonde,nimepanda umbali umenileta nimekuona Bwana

Umechukua laana zangu,ili niishi

Umwema na mwaminifu,nakupenda Rabii


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Sasa roho yangu,nisikize

Sema unazo nguvu,maana anaishi

Usidhani umaskini,sema umepata

Aishie ndani yako, ni mkuu saana


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Mimi sitahofu,sitakata tamaa

Wewe ulinifia,najua unaishi

Wewe ulichagua,kufa niishi

Uaminifu wako Rabii,hauna kipimo


Sitafa moyo (sitahangaika)

Mi najua,(nakutumainia wewe)wewe uliniita

Umwaminifu(uliyeanza kazi moyoni mwangu)Kazi ulioanza(nakutegemea)

Maishani mwangu(usiye na mwisho)nakuamini utaimaliza(najua umwema)

Sitafa moyo

Ninajua,wewe uliniita

Umwaminifu,Kazi ulioanza

Maishani mwangu,nakuamini utaimaliza


Usiyedharau mwanadamu yeyote

Oooooh oooooh,nakuamini(nakutumainia wewe)

Oooooh oooooh,utaimaliza


No comments:

Post a Comment

Subscribe for Updates