Psalm Lyrics

Your source for Gospel music lyrics and inspirational content.

Search This Blog

Powered by Blogger.

Thursday, 31 October 2024

Utukufu na Heshima | Ali Mukhwana | Lyrics



Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Wewe uliyenihesabia haki
Kwa neema yako
Ni zako usiyeshindwa
Mnara wangu wa utukufu
Na kinga yangu
Ni wewe usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Haki yako bwana yanitangulia
Utukufu wako wanifuata
Ni wewe usiyeshindwa
Ninayemtegemea ni wewe
Ngao yangu ni wewe
Ni wewe usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Uliyenichagua ni wewe
Uzima wangu ni wewe
Ni wewe usiyeshindwa
Anilindaye na mabaya ni wewe
Ni wewe bwana aa
Ni wewe bwana usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Aliye kama wewe ni nani?
Mwenye heshima kama zako ni nani?
Mwenye upendo kama wako ?
Mwenye neema ?
Mwenye kubariki kama wewe?
Mwenye kuinua kama wewe?
Maamlaka yote hapa duniani
Na kule mbinguni
Ni zako usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Utukufu na heshima bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa

Tuesday, 29 October 2024

Your Glory | Angel Benard and Paul Clement | Lyrics




We’ve seen your Glory

We’ve seen your Power

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona utukufu

Tumeona nguvu zako

Tunakuinua

Utukufu wote ni wako


We’ve seen your Glory

We’ve seen your Power

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Tunakuinua

Utukufu wote ni wako


We’ve seen your Glory

We’ve seen your Power

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


We’ve seen your Glory

We’ve seen your Power

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


You made a way

 Where there seems to be no way

We lift You higher 

All the glory belongs to You


Lord, you broke the chain

I couldn't do it by myself

We lift You higher 

All the glory belongs to You


See what you've done

You gave meaning to my life

We lift You higher 

All the glory belongs to You


Unakwenda na mimi Yesu

Hatua hatua mpaka mwisho

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


We’ve seen your Glory

We’ve seen your Power

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


We’ve seen your Glory

We’ve seen your Power

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


Talodabire

Talodabire

We lift You higher

All the glory belongs to You


Wa ajabu Yesu

Wa ajabu Yesu

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


You are my Helper

Your Helper

We lift You higher

All the glory belongs to You


My Deliverer

My Redeemer Jesus

We lift You higher

All the glory belongs to You


You're my Anchor

You're my Anchor

We lift you higher

All the glory belongs to You


We’ve seen your Glory

We’ve seen your Power

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako



Talodabire

Talodabire

We lift You higher

All the glory belongs to You


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako


Tumeona nguvu zako

Tumeona utukufu wako

Twakuinua

Utukufu wote ni wako











Monday, 28 October 2024

Yesu Nakupenda | Henrick Mruma | Lyrics


 

Yesu Yesu nakupenda

U Mwamba wangu,

Dhabiti, imara, milele


Yesu Yesu nakupenda

U Mwamba wangu,

Dhabiti, imara, milele


Yesu Yesu nakupenda

U mwamba wangu,

Dhabiti, imara, milele


Yesu Yesu nakupenda

U mwamba wangu,

Dhabiti, imara milele


Yale umetenda kwangu

Sijaweza kuhesabu

Oh o nakupenda Yesu

We Mwamba wangu


Yesu Yesu nakupenda

U Mwamba wangu,

Dhabiti, imara, milele


Yesu Yesu nakupenda

U Mwamba wangu,

Dhabiti, imara, milele


Yale umetenda kwangu

Sijaweza kuhesabu

Oh o nakupenda Yesu

We Mwamba wangu


Yale umetenda kwangu

Sijaweza kuhesabu

Oh o nakupenda Yesu

We Mwamba wangu


Yale umetenda kwangu

Sijaweza kuhesabu

Oh o nakupenda Yesu

We Mwamba wangu


Yale umetenda kwangu

Sijaweza kuhesabu

Oh o nakupenda Yesu

We Mwamba wangu


Nakupenda Yesu

We Mwamba wangu

Nakupenda Yesu

We Mwamba wangu

Nakupenda Yesu

We Mwamba wangu

Nakupenda Yesu

We Mwamba wangu




Sitafa Moyo | Paul Mwai | Lyrics


Tulipo ianza safari,tulikuwa wengi sana

Wengine wamepoteza imani yao,na kurudi nyuma wakafa moyo

Lakini kwa neema na fadhili zako,Ebenezer umeniwezesha


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Umenitoa,mbali sana

Na safari yangu,ni ndefu sana

Milima na mabonde,nimepanda umbali umenileta nimekuona Bwana

Umechukua laana zangu,ili niishi

Umwema na mwaminifu,nakupenda Rabii


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Sasa roho yangu,nisikize

Sema unazo nguvu,maana anaishi

Usidhani umaskini,sema umepata

Aishie ndani yako, ni mkuu saana


Sitafa Moyo, Ninajua,

Wewe uliniita, Umwaminifu,

Kazi ulioanza, Maishani mwangu,

Nakuamini utaimaliza


Mimi sitahofu,sitakata tamaa

Wewe ulinifia,najua unaishi

Wewe ulichagua,kufa niishi

Uaminifu wako Rabii,hauna kipimo


Sitafa moyo (sitahangaika)

Mi najua,(nakutumainia wewe)wewe uliniita

Umwaminifu(uliyeanza kazi moyoni mwangu)Kazi ulioanza(nakutegemea)

Maishani mwangu(usiye na mwisho)nakuamini utaimaliza(najua umwema)

Sitafa moyo

Ninajua,wewe uliniita

Umwaminifu,Kazi ulioanza

Maishani mwangu,nakuamini utaimaliza


Usiyedharau mwanadamu yeyote

Oooooh oooooh,nakuamini(nakutumainia wewe)

Oooooh oooooh,utaimaliza


Friday, 25 October 2024

Neema Gospel Choir - Victory Declaration (Live Music Video)

 


Tumesimama juu ya mwamba

Kamwe hatutatikisika

Hatuna shaka

Ndani ya Yesu tuko salama


Tumesimama juu ya mwamba

Kamwe hatutatikisika

Hatuna shaka

Ndani ya Yesu tuko salama


Tumesimama juu ya mwamba

Kamwe hatutatikisika

Hatuna shaka

Ndani ya Yesu tuko salama


Tumesimama juu ya mwamba

Kamwe hatutatikisika

Hatuna shaka

Ndani ya Yesu tuko salama


Tumekimbilia kwake

Tumesitirika kwake

Katukumbatia kwa mbawa zake


Hatuna shaka

Ndani ya Yesu tuko salama


Tumekimbilia kwake

Tumesitirika kwake

Katukumbatia kwa mbawa zake


Hatuna shaka

Ndani ya Yesu tuko salama


Ni yake haya mapenzi mema

Ni yake hii nyingi neema

Ni yake haya mapenzi mema

Ni yake hii nyingi neema

Ni yake haya mapenzi mema

Ni yake hii nyingi neema

Ni yake haya mapenzi mema

Ni yake hii nyingi neema

Ni yake haya mapenzi mema

Ni yake hii nyingi neema

Ni yake haya mapenzi mema

Ni yake hii nyingi neema


Imetimia kwetu

Ameifanya kweli

Ahadi yake


Imetimia kwetu

Ameifanya kweli

Ahadi yake


Imetimia kwetu

Ameifanya kweli

Ahadi yake


Imetimia kwetu

Ameifanya kweli

Ahadi yake


Hatuna shaka

Ndani ya Yesu tuko salama


Hatuna shaka

Ndani ya Yesu tuko salama


Hatuna shaka

Ndani ya Yesu tuko salama


Hatuna shaka

Ndani ya Yesu tuko salama


Subscribe for Updates