Psalm Lyrics

Your source for Gospel music lyrics and inspirational content.

Search This Blog

Powered by Blogger.

Saturday, 5 August 2023

Zaidi ya Fahamu/Uko Mwenyewe | Henrick Mruma ft. Clara Minja | Song Lyrics


 
Wewe Mungu wa ajabu,

Unafanya Maajabu

Pale ninaposhindwa

Unafanya Mwenyewe  [Repeat]

 

Zaidi ya fahamu zangu

Zaidi ya mawazo yangu

Zaidi ya akili yangu

Zaidi ya upeo wangu [Repeat}

 

Uko Mwenyewe

Uko Mwenyewe

Hakuna wa mfano wako Bwana

Uko mwenyewe. [Repeat]

 

Tazama naenda mbele, wala Hakuna

Narudi nyuma tena,

Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]

 

(Kama wewe, Kama wewe)

Wala hakuna

(Kama wewe, Kama wewe)

Lakini siwezi kumwona kama wewe. [Repeat]

 

Tazama naenda mbele, wala Hakuna

Narudi nyuma tena,

Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]

 

Wa mfano wako

Wa uweza wako

Wa mfano wako

Wa uweza wako. [Repeat]

 

Tazama naenda mbele, wala Hakuna

Narudi nyuma tena,

Lakini siwezi kumwona kama Wewe. [Repeat]

 

 

 

 

 

 

Friday, 4 August 2023

Nindagutia | Paul Mwai | Lyrics




Verse 1
Jehovah, Kihoti Wa Mothe,
Unene Waku, Ni Wakugegania,
Nduriri ciothe, Ni Ikuinamagirira
Nayo Ngoro ino, Igagutiwe wemunene


CHORUS
Ni dagutia, Ni dagutia
We wambararitio, iguro muno
Ni dagutia, Ni dagutia
Ndakuinamirira, We Mutheru


Verse 2
Nindiririirie, Gutuarana nawe,
Na Kuigua Tu, Mugambo Waku
Naguo Uthingu Waku, Utuike Irio Ciakwa,
Gia giikaro riu, Thiinii Wakwa Udue Mutheru


Verse 3
Nguenda Gukuona, We Uturaga Muoyo,
Nguenda gukumenya,  Nyonia Njira Ciaku,
Ndikuenda guitongoria,  Muturireini Uyu,
Dakuhe Ngoro Ino, Na Meciria Makwa Twarana Na nii

Thursday, 3 August 2023

Maritwa Mega | Tony Kinyua | Lyrics

 


Verse 1

Wi Ngai, Kiambiriria ona muico

Wi Ngai Mumbi, Ningi we nduombiruo

Yahweh El-Olam, Ngai uria uri hinya

Wi maritwa mega, nindaguthathaiya

 

 Chorus

Wi Ihua, Ihua riakwa ria Gituamba,

Wi Riuha, niwe unjaragira,

Thamaka nowe Muruthi wa Juda

Wi maritwa mega nitwaguthathaiya

Wi maritwa mega nindaguthathaiya

 

 Verse 2

Rapha Ngai uria uhonanagia

Jireh, wi Ngai Muheani,

Tsidkenu we nowe uthingu wakwa

Wi maritwa mega nindaguthathaiya

 

 Verse 3

El-Elyon we wi iguru muno

Rohi wi Ngai uria wonaga

Elohim, Elshaddai, El Olam

Maritwa mathaka,

Ingigweta mothe, rwimbo rutingithira

Utukufu na Heshima | Ali Mukhwana | Lyrics




 Utukufu na heshima Bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa
Utukufu na heshima Bwana
Ni zako Yahweh
Ni zako usiyeshindwa


Wewe uliyenihesabia haki
Kwa neema yako
Ni zako usiyeshindwa
Mnara wangu wa utukufu
Na kinga yangu
Ni wewe usiyeshindwa

 
Haki yako Bwana yanitangulia
Utukufu wako wanifuata
Ni wewe usiyeshindwa
Ninayemtegemea ni wewe
Ngao yangu ni wewe
Ni wewe usiyeshindwa


Uliyenichagua ni wewe
Uzima wangu ni wewe
Ni wewe usiyeshindwa
Anilindaye kwa mabaya ni wewe
Ni wewe Bwana
Ni wewe Bwana usiyeshindwa


Aliye kama wewe ni nani?
Mwenye heshima kama zako ni nani?
Mwenye upendo kama wako ?
Mwenye neema ?
Mwenye kubariki kama wewe?
Mwenye kuinua kama wewe?
 

Maamlaka yote hapa duniani
Na kule mbinguni
Ni yako usiyeshindwa

Subscribe for Updates